Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Kenya Airways yafuta safari za ndege
Shirika la ndege la Kenya, Kenya Airways, limefuta safari kadha za ndege zake hadi nchi mbalimbali za Afrika.
Shirika hilo, ambalo linakabiliwa na matatizo ya kifedha, lilichukua hatua hiyo kutokana na ukosefu wa wafanyakazi wa kutosha.
Kenya Airways inakabiliwa na uwezekano wa kutatizika zaidi kutokana na mgomo wa marubani ambao wametishia kugoma kuanzia Jumanne kushinikiza kujiuzulu kwa wakuu wa shirika hilo.
Mwandishi wa BBC Muliro Telewa anaarifu zaidi.