Hii ni tovuti ya maandishi pekee ambayo inatumia data kidogo. Tazama toleo kuu la tovuti likijumuisha picha na video zote.
Pata maelezo zaidi kuhusu toleo hili la linalotumia kiasi kidogo cha data
Mwanafunzi aunda mabomu ya machozi Uganda
Mwanafunzi wa Chuo kikuu cha Makerere nchini Uganda amevumbua njia ya kutengeneza mabomu ya kutoa machozi ambayo hutumika na vikosi vya Polisi mara nyingi kuzima maandamano.
Kwa sasa mwanafunzi huyo Samuel Mugarura anatarajia kukutana na Rais Yoweri Museveni ili kupokea pongezi kutokana na uvumbuzi wake.
Kutoka Kampala Omar Mutasa ana maelezo zaidi.